1 Kings 8:53

53

Kwa maana uliwachagua wao kutoka mataifa yote ya ulimwengu kuwa urithi wako mwenyewe, kama ulivyotangaza kupitia mtumishi wako Musa wakati wewe, Ee Bwana Mwenyezi, ulipowatoa baba zetu kutoka Misri.”

Copyright information for SwhKC